June 10, 2014

Vera Sidika Azungumza na Al-Jazeera

Baada ya Ku TREND sana mitandaoni hapa AFRIKA mwana dada VERA SIDIKA   sasa atapata kujulikana kimataifa zaidi...hii ni baada ya kupata ... thumbnail 1 summary

Baada ya Ku TREND sana mitandaoni hapa AFRIKA mwana dadaVERA SIDIKA  sasa atapata kujulikana kimataifa zaidi...hii ni baada ya kupata nafasi ya kufanyiwa  INTAVYUU na moja kati ya
shirika kubwa la vyombo vya HABARI duniani,  Al-Jazeera.
Kupitia ukursa wake wa INSTAGRAM Vera alishare nasi picha hizi akiwa anahojiwa na mtangazaji Malcom Webb wa Al-Jazeera.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: