June 19, 2014

HII INAMHUSU HUYU MBUNGE ALIAMUA KUPANDA BODA BODA BILA KUJALI WADHIFA WAKE

Adha ya Foleni jijini Dar es Salaam imemkumba mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka nchini Tanzania, Shy-Rose Bhanji aliyekuwa aki... thumbnail 1 summary
Adha ya Foleni jijini Dar es Salaam imemkumba mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka nchini Tanzania, Shy-Rose Bhanji aliyekuwa akisafiri kwa ndege na

kulazimika kukwea bodaboda ili imuwahishe Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere Dar es Salaam

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: