08:19
Askari wa Usalama barabarani eneo la Makumbusho, Dar wakimpiga
Dereva wa gari ambaye amejitambulisha kama mwanajeshi! Tukio hili limetokea mida ya saa 9 mchana huu. Bado haieleweki chanzo ni nini.
Je, unadhani hivi ndivyo askari wetu wanatakiwa kutekeleza majukumu yao?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: