JOHARI AFUNGUKA NA KUSEMA BADO YUKO RJ COMPANY LAKIN HAYUPO NA RAY .. SOMA ZAIDI
MUIGIZAJI wa ‘long time’ katika tasnia ya filamu Bongo, Brandina Chagula ‘Johari’ juzi kati amefunguka kuwa kwa 07:49
MUIGIZAJI wa ‘long time’ katika tasnia ya filamu Bongo, Brandina Chagula ‘Johari’ juzi kati amefunguka kuwa kwa
sasa hayuko na aliyekuwa akidaiwa kuwa ni mpenzi wake, Vicent Kigosi ‘Ray’ ila yuko katika Kampuni ya RJ ambayo wanashirikiana kisanii zaidi.
Akizungumza na Ijumaa katika hoteli ya Johannesburg, Sinza Mori jijini Dar, Johari alisema kuwa kwa sasa angependa atambuliwe kuwa anafanya kazi na Ray katika hiyo kampuni na si kuhusishwa naye kimapenzi.
“Naomba ifahamike kwamba mimi niko RJ na siko na Ray kama watu wengi wanavyozungumza,” alisema Johari kwa kifupi kisha kuendelea na hamsini zake.
“Naomba ifahamike kwamba mimi niko RJ na siko na Ray kama watu wengi wanavyozungumza,” alisema Johari kwa kifupi kisha kuendelea na hamsini zake.