Mwanadada Shilole ambaye ni Muigizaji, mwanamziki, socialite, nk...Anashutumiwa kuwa rekodi ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na vijana ambao inasemekana amewazidi UMRI...Hivi karibuni kupitia
mtandao wa INSTAGRAM, mwanadada huyu amekuwa akipost picha zenye utata..zikiashilia yuko kwenyemahusiano na kijana mmoja (jina lake halikufahamika)...Sasa hizo picha ndio hasa chimbuko la wadau kuanza ku-comment- positively na negatively.....!!!
mtandao wa INSTAGRAM, mwanadada huyu amekuwa akipost picha zenye utata..zikiashilia yuko kwenyemahusiano na kijana mmoja (jina lake halikufahamika)...Sasa hizo picha ndio hasa chimbuko la wadau kuanza ku-comment- positively na negatively.....!!!
WEKA YAKO HAPO CHINI