January 10, 2014
MOTO MKUBWA WAUNGUZA JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR
Jengo la RK lililokaribu na eneo la Jet katika Barabara ya Nyerere karibu na sheli ya Victoria linaendelea kuwaka moto mkubwa chana huu ambao umefika katika eneo la ghala la kuhifadhia madawa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wapo eneo la tukio ambako hali bado si shwari.
Sehemu iliyoathirika zaidi ni ghala la kutunzia dawa za binadamu la kampuni ya Philips.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments
Post a Comment