Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa ana tabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
11:20
Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa ana tabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
Alianza
kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku.
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza
kugomba. Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo sihuwezi kabisa..
Msaada please nimuepuke huyu jamaa..
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
No comments
Post a Comment